![Ikulu Tanzania](/img/default-banner.jpg)
- 2 375
- 30 988 138
Ikulu Tanzania
Приєднався 21 гру 2012
CHANELI RASMI YA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS, IKULU
RAIS SAMIA NA RAIS NYUSI WAKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI, IKULU DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi Wakizungumza na Waandishi wa Habari, leo tarehe 02 Juni, 2024 Ikulu Dar es Salaam. Rais Nyusi yuko nchini kwa Ziara ya Kiserikali.
Переглядів: 551
Відео
Songa na Samia Msimu wa Nne
Переглядів 4489 годин тому
Songa na Samia inaangazia mapinduzi makubwa kwenye sekta ya Afya hususan huduma ya kupandikiza uroto Kwa watoto katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma.
HOTUBA YA RAIS SAMIA AKIPOKEA TAARIFA YA HAKI JINAI IKULU CHAMWINO TAREHE 15 JUNI, 2024
Переглядів 1,1 тис.14 днів тому
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati akipokea Taarifa ya Haki Jinai Ikulu Chamwilno Mkoani Dodoma leo tarehre 15/06/2024.
HOTUBA YA RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA WAFANYABIASHARA - HOTELI YA LOTTE SEOUL, JAMHURI YA KOREA
Переглядів 68528 днів тому
HOTUBA YA RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA WAFANYABIASHARA - HOTELI YA LOTTE SEOUL, JAMHURI YA KOREA
HOTUBA YA RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA JUKWAA LA MIUNDOMBINU BAINA YA KOREA NA AFRIKA JUNI 5, 2024
Переглядів 1,2 тис.28 днів тому
HOTUBA YA RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA JUKWAA LA MIUNDOMBINU BAINA YA KOREA NA AFRIKA JUNI 5, 2024
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA KOREA NA AFRIKA ULIOFANYIKA KINTEX - JAMHURI YA KOREA
Переглядів 791Місяць тому
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA KOREA NA AFRIKA ULIOFANYIKA KINTEX - JAMHURI YA KOREA
H.E Samia Suluhu Hassan's Honorary Doctorate Ceremony Speech
Переглядів 419Місяць тому
H.E Samia Suluhu Hassan's Honorary Doctorate Ceremony Speech
HOTUBA YA RAIS SAMIA WAKATI AKITUNUKIWA UDAKTARI WA FALSAFA WA HESHIMA KWENYE SEKTA YA ANGA-KOREA
Переглядів 264Місяць тому
HOTUBA YA RAIS SAMIA WAKATI AKITUNUKIWA UDAKTARI WA FALSAFA WA HESHIMA KWENYE SEKTA YA ANGA-KOREA
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA KATIKA UZINDUZI WA ALBAM YA 5 YA HARMONIZE - MLIMANI CITY
Переглядів 1,4 тис.Місяць тому
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA KATIKA UZINDUZI WA ALBAM YA 5 YA HARMONIZE - MLIMANI CITY
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA KWENYE MIAKA 20 YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA - JNICC
Переглядів 841Місяць тому
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA KWENYE MIAKA 20 YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA - JNICC
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MKUTANO WA KWANZA UNAOHUSU NISHATI
Переглядів 1,7 тис.Місяць тому
HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MKUTANO WA KWANZA UNAOHUSU NISHATI
HOTUBA YA UZINDUZI WA KIWANDA CHA SATURN CORPORATION LIMITED KIGAMBONO TAREHE 09 MEI, 2024
Переглядів 1,4 тис.Місяць тому
HOTUBA YA UZINDUZI WA KIWANDA CHA SATURN CORPORATION LIMITED KIGAMBONO TAREHE 09 MEI, 2024
HOTUBA YA RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA - NAIROBI, KENYA
Переглядів 1,5 тис.2 місяці тому
HOTUBA YA RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA - NAIROBI, KENYA
Songa na Samia inaangazia Mradi wa Kimkakati wa Bwawa la Kufua Umeme la Mwalimu Nyerere
Переглядів 1,3 тис.2 місяці тому
Songa na Samia inaangazia Mradi wa Kimkakati wa Bwawa la Kufua Umeme la Mwalimu Nyerere
SONGA NA SAMIA - SS, MIAKA 60 YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Переглядів 9772 місяці тому
SONGA NA SAMIA - SS, MIAKA 60 YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
HOTUBA YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA JUKWAA LA WAFANYABIASHARA WA TANZANIA NA UTURUKI- ISTANBUL
Переглядів 2,1 тис.2 місяці тому
HOTUBA YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA JUKWAA LA WAFANYABIASHARA WA TANZANIA NA UTURUKI- ISTANBUL
HOTUBA YA RAIS SAMIA KATIKA HAFLA YA KUTUNUKIWA UDAKTARI WA HESHIMA, UTURUKI
Переглядів 5 тис.2 місяці тому
HOTUBA YA RAIS SAMIA KATIKA HAFLA YA KUTUNUKIWA UDAKTARI WA HESHIMA, UTURUKI
SONGA NA SAMIA - SS, VIWANDA NA BIASHARA
Переглядів 1252 місяці тому
SONGA NA SAMIA - SS, VIWANDA NA BIASHARA
SONGA NA SAMIA - SS, SERA, BUNGE NA URATIBU
Переглядів 1942 місяці тому
SONGA NA SAMIA - SS, SERA, BUNGE NA URATIBU
Hizo zilipendwa mwenye hiyo kazi kashatangulia
😂😂makuyuni kikosi changu utalii nje njee wanyama sio maadui
Tuna washangaa HATA hatuelewi kinaendelea Nini ili iweje.
Katafa au kitaifa
John magufuli NITAUENZI MUUNGANO, maneno haya aliyaongea katika kampeni za mwisho mwaka 2015
UDUMU (MUUNGANO) IDUMU TANZANIA NO UZANZIBARI NA UZANZIBARA mwinyi,karume nyerere hoyeeeeeeeeeeeeee.
Kingwiti
Sichoki kumsikiliza
Nawatch tena hii hotuba..4.7.2024...R.I.P JPM
Tulikupenda sana 😮😮😂😂😂
Swahili to the world🇹🇿
Mungu watie nguvu
2024
Naomba msaada nimeenda kumwita savey amekuja ameniambia kuwa maji mpaka yakifika kwangu ni 1200000 je hiyo ndiyi bei ya kulipia watanzania
Hongeni sana hongera kwa rais wetu, Hongereni kwa maonyesho hayo na ushirikiano huu. Mungu ibariki Tanzania
Hongera mama yetu Kwa mashikiano mema na Mozambique ❤
Uli ongoza vizuri sana lakini ume Tuachia katiba mbovu sana
Mwandishi Huyu Vipi?
Rest in peace 56:14
Always TPDF🔥🔥🔥🔥
Alipokwenda Bandarini Alikuta MITA Za Kusoma Mafuta Yanayoingia Zote Zimechezewa Makusudi halafu majizi Eti Yalikuwa Yanakadiria Kiwango Cha Mafuta Yanayo Ingia yaani Yaliharibu MITA Kwa makusudi Ili Yawe Yanakadiria kwa Matakwa Yao Daa!!??
Rest in peace 😢😢😢😢😢😢
Duh mwamba kabisa
Bangi 0:56 0:57 0:59
S
Rest in peace baba 😭🙏🏽
Jembe 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Yaani kuongea pasipo kumuangalia Rais inaonesha anaheshimu sana lakini kachgua kuwa Mzuri pasipo Uchawi kabisa.
😭😭😭😭
W
Rest in peace the legend sasa we suffer baada ya kuondoka
No Magu,no Tz. Ndanenatu. Ukweli husemwa
Jamani tutakukumbuka daima
JK mbona alikuwa anacheka kinafiki sana
Mwamba tutakukumbuka mbunifu
Salut kwa doctor pombe magufuli
SSH❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
speed ya maeendeleo imepungua mama sijui anaogopa nini tusimpambe uwo ndo ukweli maendeleo yote kafanya baba yetu magufuli yeye atuoni ata kama anatekeleza sijui kaz iendele hamna kitu hii nchi apewe makonda kwa mwaka mmoja tu af makamu mwambukusi mama aone kasi ndani ya mwaka mmoja uchumi wa kati tunarudi watanzania tusiogope kusema kweli tutauolizwa na mungu uliifanyia nini nchi yako hat kusema kweli mnashindwa
Salamalaikumustadhat.
Hii Tanzania ingepata 'kichwa' ingekuwa 'anchor state' katika Afrika, taji ambalo Kenya inajaribu kulichukua ingawaje haikutoa mchango wowote katika ukombozi. Ilipoombwa na ANC kutoa msaada, ilitoa Landrover moja! Tungeongoza Afrika hata kwa lugha tu. Hivi sasa nchi nyingi Afrika zinataka kuachana na upuuzi wa kutumia lugha za Wazungu kuwasiliana hata wao kwa wao. Sisi ndiyo kwanza twakifagilia Kiingereza na hata Kiswahili chetu si fasihi! Ni vizuri kujifunza Kiingereza vizuri sana, na pia Kiswahili. Ila jamani kwa kweli Mwalimu aliona mbali saaana. Hakuna aliyetokea bado, mwenye maonio yake. Hii si kusema hakufanya makosa- hasa ya uchumi, demokrasia- yeye alikuwa binadamu.
Hongera sana kwa ubunifu mkubwa juu ya Tume ya haki jinai ambapo lkn pamoja na mapendekezo hayo mengi lkn kubwa zaidi ni kuhakikisha Taasisi zetu nyeti zinakuwa na ufuatiliaji juu ya utendaji wao kwa kutumia vikosi vyenye meno zaidi Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu jamani mpenzi wangu.
Mbona kama makamba haelewe utaratibu😂😂😂😂😂
Hangariya makosa we mama Suluhu uko unafaniabuko eastern congo, kuwawa watutsi wanaopiganiya kuishi kwa ardhi yawo, mweote muko matapeli, wongo mtupu! Muace ubaguzi wabkisekedi na ndayishimiye, siyo unguana kua tanzaniya ilijulikana kuunga mkono kwawa freedom fighters!
Weee! Pumbaf, acha Utusi hapa! Nyie si mlisema Rwannda kuna kabila moja tu la Banyarwanda? Halafu mkaja mkayaita mauaji ya Kimbari kuwa ni 'mauaji ya Watusi' mkisahau mliyoyasema. Watusi si kwao DRC. Walikimbilia kule kama Wakimbizi katika vipindi tofauti vya macjhafuko Rwanda.. Sasa Watusi waliokimbilia Uganda, Tanzania wamerudi, kwa nini wa Congo hawarudi nyumbani? Kwa nini mnaidai nchi ya watu? Kama mwataka kukaa kwa amani sawa. Maaana wako Watusi Tanzania, Uganda wamekubali kukaa kwa amani kama raia. Ila nyie wa Congo mwataka muifanye DRC ni Rwanda ndogo. Halikubaliki. Na msifanye watu wajinga.
Nanihuyu laisi na wa benin waritisha sana kwa kuvamiya nchi ya Niger! Uyo na Wa benin, ivory cost, wanasahidiya ma terrorist na kuvamiya izo inchi tatu nilitaja apo juu!
Sasa huyu ni muswahili wahali yajuu! Ni mwongo, ndiyo umuja katika ma laisi ya CDEAO wanaleta migogoro kwazingini inchi za Niger,Mali, na Burkina Faso wanataka kuondokana namu kolonie ufransa!
KAZI IENDELEE
Magufuli ndio alikua na sifa hizo zote
Tulipoteza shujaa wa kweli ee mungu tuhurumie.
Tulipoteza shujaa wa kweli, ee mwenyezi mungu tuhurumie.
Jaman magu